Psalms 37:3-5


3 aMtumaini Bwana na utende yaliyo mema;
Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.

4 bJifurahishe katika Bwana
naye atakupa haja za moyo wako.


5 cMkabidhi Bwana njia yako,
mtumaini yeye, naye atatenda hili:
Copyright information for SwhKC